Friday, 22 August 2014

Okwi akanusha habari za kwenda ulaya je ni kweli >>>> ni folow kwenye <<< Twiter,facebook,blogsport,hulkshare.n.k

Kama kawaida mtu wako wa nguvu Erasto kambona ,huwa na penda kuku letea vitu vipya kila wakati """Emanuely Okwi akanusha habari za kwenda ulaya ,asema yeye bado mchezaji wa yanga  Damu damu asema okwi pia ashangazwa na uvumi uliotolewa  kuwa yeye ameshamalizana na >> YANGA<<< na mpango wake ni kwenda kucheza soka ulaya ,asema bado ana mkataba na >> YANGA<<< na mambo madogo tu hayajaenda  sawa na kilabu yake ya Yanga. Toa coment>>> YAKO<<< kuhusu Uwamzi wa okwi na >>"" YANGA''<<< YAKE.

No comments: