Monday, 11 August 2014

DAAA HII KALI SIMBA YAFUKUZA KOCHA KISA KUFUNGWA

Timu ya simba ya jijini Dar es salaamu  imemfutia kocha kazi  baada ya timu hiyo yenye masikani mtaa wa msimbazi kupata kichapo kutoka kwa Zesco  3-0, kutokana na kupoteza mechi hiyo imemupa ngumu loga kocha mkuu wa simbaa  kutemwa kama mchezaji mbovu kilabuni , hii inakupa mwanga kwamba timu za bongo zinapenda kufunga hazipendi kufungwa , jee kwa mfumo huu timu za bongo na soka la bongo  linakuwa au ndo tunakuwa wasindikizaji wa hili gemu la mpira, ewe ndugu msomaji toa maoni yako hapa chini kama wewe ni shabiki wa mpira na unataka soka libadilike tufanye nini ili kuweza kufika mbali.

1 comment:

Bongomusicskytz said...

kalieni wanachama mtabuma