Monday, 18 August 2014

DARADARA ZA UA GEITA WATU WA WILI WALIPOTIWA KUFA

Katika mkoa mpya wa geita Daradara za ua  yadaiwa kuwa  ajali hiyo ilitokea wakati gari la mizigo kugona na daradara iliyokuwa inawabiria wa kutoka nyakumbu kwenda mwatulole mkoa wa geita , chanzo cha hiyo ajari yadaiwa kuwa ni mwendo kasi wa gari la mizigo lililokuwa linatoka mwanza kwenda katoro  geita , kutokana na ajali hiyo watu kumi wajeruhiwa na  watu wa wili  wadaiwa kupoteza maisha papo hapo, Je wewe ndugu unae safiri leo, kesho , kesho kutwa unawashauri nini hawa  madereva wanaoendesha gari kwa mwendo kasi barabarani unawashauri nini , toa maoni yako kwa hawa madereva