Sunday, 14 September 2014

HAPANA CHEZEA YANGA

Pazia la ligi kuu likiwa limefunguliwa leo kwa mchezo wa ngao ya jamii YANGA vs AZAM ,mechi ambayo imechezwa leo  na yanga imeilaza azam fc 3-0 katika uwanja wa taifa dism dar es salaam  wafungaji wa mechi ya leo ni Gelson jaja akiwa amekwamisha goli mbili ikiwa dk 65,75, na goli la tatu likikwamishwa na simion msuva dk 80 ya mchezo.

1 comment:

Anonymous said...

imekaa wa pouwa sanaa